Jumanne, 29 Safar 1446 | 2024/09/03
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Mahakama ya Kimataifa ya Jinai: Chombo cha Kisiasa, sio cha Kimahakama Uadilifu wa Kweli Unaweza tu Kupatikana Kupitia Utekelezaji wa Sheria za Kiislamu chini ya Khilafah Rashida

Pambizoni mwa Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa jijini New York, Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, Karim Khan, alikutana na Luteni Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, Mwenyekiti wa Baraza la Enzi na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Sudan, mnamo Ijumaa, Septemba 22, 2023.

Soma zaidi...

Kukamatwa kwa Ustadh Khaled al-Loumi, Mwanachama wa Hizb ut Tahrir, huko Sfax Ikiwa huu sio ukamatwaji wa kisiasa, basi ni nini?!

Mnamo Jumatano, Septemba 20, 2023, Kitengo cha Utafiti na Ukaguzi huko SFAX kilimkamata mwanachama mmoja wa Hizb ut Tahrir, ndugu Khaled al-Loumi. Alipokea wito kutoka kwa kitengo kilichotajwa hapo juu na alikataliwa uwepo wa wakili wake wakati wa wito huo.

Soma zaidi...

Dori ya Wanawake ni Kubwa Zaidi kuliko Kupigana katika Vita Visivyo na Maana!

Mnamo Septemba 20, 2023, Chaneli ya Al Jazeera ilipeperusha picha kutoka katika sherehe ya kuhitimu ya kundi la kwanza la wanawake waliohamasishwa wilayani Marawi katika jimbo la kaskazini, kuitikia wito wa Mkuu wa Majeshi, Luteni Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, kuwahamasisha watu kupigana pamoja na jeshi!

Soma zaidi...

Serikali ya Hasina Haipotezi tu Pesa za Watu Pekee lakini pia Inawasaliti Waislamu kwa Kununua Ndege na Satelaiti kutoka Ufaransa, Adui Mkubwa wa Uislamu

Huku watu wakilipia gharama kubwa kwa janga la maambukizi ya homa ya dengue nchini, na uhaba usio wa kawaida wa vitanda katika mahospitali, ukosefu wa vifaa vya kutosha vya matibabu na hata chakula cha ziada cha maji ya saline, serikali imechukua miradi miwili mipya ya uporaji.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir katika Wilayah Lebanon Inaendelea na Amali zake za Ziara huko Sidon Kuhusiana na Kambi ya Ain al-Hilweh na Athari za Matukio yake

Tangu kuzuka kwa matukio katika kambi ya Ain al-Hilweh mnamo 29/7/2023, haswa wakati na baada ya raundi ya pili, ya vurugu zaidi, lililozuka usiku wa Alhamisi, 6/9/2023, ambapo ilisababisha uharibifu mkubwa, hasa nje ya kambi ya Ain al-Hilweh, Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Lebanon imefanya kila juhudi kuendelea na kazi yake kujaribu kuzima ugomvi na kuzuia mapigano kwa kuwasiliana na wanasiasa na watendaji katika mji wa Sidon na Kambi ya Ain Al-Hilweh.

Soma zaidi...

Hali Ngumu ya Kiuchumi: Matunda ya Mti Mouvu wa Mfumo wa Kiuchumi wa Kibepari Uliong’olewa Ardhini

Mwaka mmoja baada ya serikali ya Kenya Kwanza kuchukua hatamu za uongozi, hali ya kiuchumi na maisha ya raia wa kawaida imezidi kuwa mbaya. Ni dhahiri shahiri kwamba matarajio makubwa ya wananchi kurahisishiwa gharama za maisha na utawala ulioko mamlakani sambamba na kuondokewa na malimbikizi ya deni la taifa, yamegeuka kuwa mangati/mazigazi.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu