Miaka Sitini ya Uchungu na Machafuko
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kenya iliadhimisha miaka 60 ya ‘uhuru’ mnamo Jumanne, tarehe 12 Disemba 2023. Siku hiyo huadhimishwa kila mwaka mnamo Disemba 12, kuadhimisha siku ambayo mnamo 1963 Kenya ilipata uhuru wake kutoka kwa utawala wa kikoloni wa Uingereza.