Mauaji ya Shakahola: Ni Imani Pofu isokinaisha Akili
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Polisi nchini Kenya wanaendelea na ufukuaji wa makaburi membamba kuitoa miili ya watu wanaoaminika kufa njaa katika eneo la pwani ya nchi. Idadi ya vifo hadi sasa imefikia 89 huku miili zaidi ikitarajiwa kutolewa.