Alhamisi, 09 Rabi' al-awwal 1446 | 2024/09/12
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Umbile la Bid'ah

Katika moja ya mikutano yetu, tulijadili neno "Bid ́ah." Baadhi yetu walisema kwamba inahusisha kila kitu kinachopingana na amri ya Mtunga Sheria (Al-Shaari'), na wengine wakasema kwamba inahusisha tu kukiuka amri ya Mtunga Sheria katika mambo ya ‘Ibadaat (amali za ibada).

Soma zaidi...

Maana ya Hadithi: “Ummah wangu utagawanyika makundi sabiini na tatu.”

Hadithi unayoiulizia haisimuliwi katika muundo uliowasilishwa katika swali lako, na tulikuwa tumeiweka wazi hadithi hii katika Jibu la Swali lililochapishwa mnamo 24 Rabii 'ul-Akhir 1439 H sawia na 11/01/2018 M, katika mapokezi kadhaa, ambayo mengine ni pamoja na nyongeza tofauti, na tulihitimisha mwishoni mwa jibu kuwa: (hadithi inayohusu mgawanyiko wa Ummah katika madhehebu 73 bila nyongeza yoyote ni hadithi sahihi…

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu