Alhamisi, 09 Rabi' al-awwal 1446 | 2024/09/12
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Pindi Serikali Inapotekeleza Unyanyasaji dhidi ya Wanawake

Wizara ya Wanawake, Familia na Wazee inazindua kampeni ya kinidhamu ambayo kwayo ilichagua kauli mbiu ya “Kupinga Unyanyasaji dhidi ya Wanawake” ambapo kupitia kwayo inapigia debe utekelezaji wa Sheria Msingi nambari 58 ya tarehe 11/8/2017, iwe ndio mdhamini pekee wa kuweka hatua za kutokomeza aina zote za unyanyasaji dhidi ya wanawake.

Soma zaidi...

Kauli za Rais Erdogan kuhusiana na Heshima ya Kieneo ya Syria, Ambazo Amezitoa kwa Kila Fursa, Zinamaanisha Kuukubali kimyakimya Utawala wa Assad, ambao Umekuwa Ukiwachinja Kikatili Waislamu kwa Miaka Mingi

Waziri wa mambo ya nje Mevlut Cavusoglu alisema, "Operesheni hizi zina umuhimu katika suala la heshima ya kieneo ya Syria na Iraq. Endapo hatungefanya hivi, sio DAESH wala YPG-PKK ingeondolewa. Hatuwezi kubaki walegevu dhidi ya mashambulizi. "

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria “Maandamano ya Kafr Takharim dhidi ya Kauli za Khiyana za Serikali ya Uturuki!”

Kisimamo kilicho andaliwa na Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria katika mji wa Kafr Takharim viungani mwa Idlib Magharibi kiligeuka na kuwa maandamano dhidi ya matamshi ya khiyana ya serikali ya Uturuki ya kutaka kuwepo kwa mazungumzo kati ya wanamapinduzi na utawala wa kihalifu wa Bashar al-Assad.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu