Jumanne, 01 Safar 1446 | 2024/08/06
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Hizb ut Tahrir Yawahamasisheni Kufanya Kazi Nayo ili Kusimamisha Khilafah Rashida ya Pili kwa Njia ya Utume

Kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, Afisi Kuu ya Habari, kupitia ukurasa huu, itachapisha mabango kumi ya kuuamsha Umma wa Kiislamu na watu wenye nguvu na ulinzi ndani yake ili wafanye kazi pamoja nayo kusimamisha Khilafah Rashida ya pili kwa njia ya Utume.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Angazo la Vyombo vya Habari la Kisimamo Mabadiliko Makubwa kwa Msingi wa Uislamu Ndiyo Njia ya Wokovu Wetu!

Jumapili asubuhi, Mei 22, 2022, Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia iliandaa kisimamo cha kukataa miradi ya kisiasa ya kisekula ambayo inaupinga Uislamu waziwazi na hukmu zake inayofungamana na maadui wa Waislamu kutoka katika ukoloni wa Magharibi na mfano wake.

Soma zaidi...

Mkutano wa Mfalme na Biden ni Kujitolea kwa Kuendeleza Utawala wa Kikoloni wa Amerika wa Jordan kwa Badali ya Kutafuta Uthabiti Uliopo wa Utawala kupitia Uzi wa Usimamizi

Taarifa ya Ikulu ya White House ilisema mnamo Ijumaa, Mei 13, 2022, “Rais [Biden] anafuraha kumkaribisha Mtukufu Mfalme Abdullah II wa Jordan na Mwanamfalme wake Mtarajiwa Hussein kwenye Ikulu ya White House Mei 13, 2022.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu