Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 376
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir Wilayah ya Kenya imechapisha toleo jipya la Jarida la UQAB kwa ajili ya mwezi wa Februari 2022 M.
Kwa muda wa miaka kumi, hakuna anayejua Idara ya Usalama ya Pakistan (ISI) imemuweka wapi Ndugu Naveed Butt, msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir Wilaya ya Pakistan, au wapi ameshikiliwa.
Khalifah huwatawala Waislamu kwa yale yote yaliyoteremshwa na Mwenyezi Mungu (swt).
Ripoti ya kuogofya ya vifo vya watoto zaidi ya 36 katika wilaya ya Tharparkar, vilivyosababishwa na maradhi mbalimbali katika mwezi wa kwanza wa 2022, imesababisha kizungumkuti kwa serikali ya mkoa. (Tribune Pakistan)
Wanadiplomasia wa Taliban na wa nchi za Magharibi wanafanya mkutano nje ya mji mkuu wa Norway Oslo kwa ajili ya mazungumzo yanayoangazia mgogoro wa kibinadamu wa Afghanistan, ambao umeongezeka kwa kasi tangu Agosti mwaka jana wakati Taliban iliporegea mamlakani miaka 20 baada ya kupinduliwa katika uvamizi ulioongozwa na Marekani.
Hatua za pamoja za chama ndiyo njia pekee ya kuleta mabadiliko yoyote katika jamii. Mfano wetu na kiigizo chetu, Muhammad (saw) alianzisha jambo hili.
Katika mkutano mmoja na waandishi wa habari mnamo tarehe 19 Januari 2022, Rais wa Marekani Joe Biden alitabiri Urusi "itaingia" Ukraine na kuashiria "uvamizi mdogo" wa Moscow unaweza kusababisha nchi za Magharibi "kupigana kuhusu nini cha kufanya na kutofanya."