Jumapili, 29 Muharram 1446 | 2024/08/04
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Amerika Ulaya Zatumbukiza Mikono Yake ndani ya Damu ya Sudan na Watu Wake Mbele ya Watawala kutoka Upande wa Kijeshi na Kiraia, Bali Hata kwa Usaidizi Wao, Mwenyezi Mungu Awaangamize; Wanahadaiwa Vipi?

Leo tarehe 25/10/2021 wananchi wa Sudan wameamkia kuibuka kwa vuguvugu kutoka kwa jeshi lililowakamata baadhi ya mawaziri pamoja na idadi kadhaa ya washiriki katika serikali ya mpito ya kiraia na kisha kukamatwa kwa Waziri Mkuu Hamdok mwenyewe...

Soma zaidi...

Waacheni Huru Watetezi wa Khilafah: Haki inadai Kuachiliwa Huru Mara Moja kwa Wale Wanaolingania Khilafah kwa Njia ya Utume.

Mnamo tarehe 24 Disemba 2016, Jaji Mkuu Mteule wa Mahakama ya Upeo, Mian Saqib Nisar, alisema, “Ninaahidi hakutakuwa na shinikizo kwa idara ya mahakama na hakuna anayeweza kuthubutu kuhoji uwazi wetu. Siwezi kuutoa muhanga uhai wangu kesho Akhera kwa manufaa yoyote ya kidunia.” Hakika hakimu aliyeongoka ni yule anayehukumu kwa Uislamu ili apate Jannah. Na ole wake yule anayehukumu kwa yasiokuwa Uislamu!

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu