Vichwa vya Habari 07/11/2021
- Imepeperushwa katika Vichwa vya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Greta Thunberg sasa ameondoka kwenye jukwaa baada ya ukosoaji mfupi lakini mkali wa Cop26. "Viongozi hawafanyi lolote,
Greta Thunberg sasa ameondoka kwenye jukwaa baada ya ukosoaji mfupi lakini mkali wa Cop26. "Viongozi hawafanyi lolote,
Awamu ya sita ya kikao cha Kamati ya Katiba, ikiwa na sehemu zake mbili, mwakilishi wa serikali ya kihalifu na mwakilishi wa ule unaoitwa upinzani, ilianza Jumatatu, 18 Oktoba 2021, huu ni mkutano wa sita baada ya mikutano mitano kufeli.
Ni furasa kwetu sisi katika Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan kuwaalika ndugu zetu wataalam wa habari, wanasiasa, wasomi na wanamaoni kuhudhuria na kushiriki katika Kikao cha Kadhia za Umma cha kila mwezi,
Kongamano la Umoja wa Mataifa la Mabadiliko ya Hali ya Hewa la COP26 linajadiliwa kwa mapana na marefu, huku wachambuzi wakikisia juu ya mafanikio yanayoweza kupatikana na wengine kuutayarisha ulimwengu kwa kongamano jengine la Umoja wa Mataifa lenye kufeli.
Dkt Abdul Wahid, Mwenyekiti wa Kamati Tekelezi ya Hizb ut Tahrir Uingereza, aelezea maslahi tofauti tofauti yaliyofungwa katika ajenda ya mabadiliko ya hali ya hewa - hayatokani na nia za dhati kwa ajili ya wanadamu
Kuna simu nyingi, lakini ahadi chache thabiti. Hivi ndivyo mazungumzo ya nchi za G20 kuhusu suala la mabadiliko ya hali ya hewa yalivyomalizika.
Asubuhi ya Jumatano tarehe 20/10/2021, vikosi vya al-Assad vililenga vitongoji kadhaa vya Ariha, mji wenye wakaazi wengi raia, na kurusha makombora zaidi ya tisa mfululizo ambayo yalipiga shule kadhaa, na kuacha mashahidi kadhaa,
Wakati Rais wa Amerika Joe Biden alipokuwa kwenye kampeni mnamo 2020, alisema, "Mabadiliko ya hali ya hewa ndio tishio lililopo kwa wanadamu.Ikiwa hayataangaliwa, yataioka sayari hii.
Kikao Maalum juu ya risala iliyotumwa na Hizb ut Tahrir pamoja na ujumbe wa Mashababu wake bora kwenda kwa viongozi watano wa Taliban mwanzoni mwa mwezi Septemba 2021.
Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang’I, ameshtumu vikali kitendo cha kushambulia msafara wa Naibu Rais William Ruto katika eneo la Magharibi mwa Kenya kilichofanyika tarehe 23 Oktoba, 2021.