Uingereza, kwa Chuki zake dhidi ya Uislamu na Waislamu, Yauita Ulinganizi Wetu wa Kuinusuru Gaza kuwa ni Ugaidi, huku Mikono yao Ikichuruzika Damu yetu, na Wanashindwa Kuuona Ukatili wao Wenyewe kama Ugaidi!
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Bunge la Uingereza limeidhinisha mipango ya kuliainisha Kundi la Kisiasa la Kiislamu Hizb ut Tahrir kama kundi la kigaidi. Hatua hii inajiri kufuatia ushiriki wa kundi hili katika kuandaa maandamano jijini London, hasa sambamba na maandamano ya waungaji mkono wa Palestina wakati wa mzozo kati ya ‘Israel’ na Hamas.