Alhamisi, 21 Jumada al-thani 1447 | 2025/12/11
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Athari za Virusi vya Korona

China ilitangaza kwa mara ya kwanza mnamo 4/12020, hususan jijini Wuhan, kuwa watu kadhaa waliambukizwa na maradhi ya virusi vya Korona, yaliopewa lakabu ya COVID-19, kisha yakaenea takriban katika nchi zote za ulimwengu, na nchi nyingi zikalazimisha kufungwa kwa mipaka na marufuku ya kutoka nje usiku, na kisha zikasitisha swala za Ijumaa na jamaa.

Soma zaidi...

Al-Waqiyah TV: Mahojiano na Ummah wa Kiisilamu Juu ya Tukio la Ukumbusho waa 99 wa Kuvunjwa kwa Dola ya Khilafah

Kwa muongozo wa Amiri wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa, Ata Bin Khalil Abu Al-Rashtah, Mwenyezi Mungu amlinde, Hizb ut Tahrir imezindua kampeni pana ya kiulimwengu ya ukumbusho wa 99 Hijria wa Kuanguka kwa Khilafah mnamo 28 mwezi mtukufu wa Rajab 1342 H sawia na 3 Machi 1924 M.

Soma zaidi...

Minbar ya Ummah: Maandamano huko kwa makutano ya barabara ya Karameh kwa kichwa, "Hakuna Uokovu kwa Mapinduzi ya Ash-Sham isipokuwa katika Utawala wa Uislamu"

Maandamano ya watu wengi yalizinduliwa baada ya sala ya Ijumaa kwenye msikiti katika kambi ya Atma, makutano ya barabara ya Karameh nje kidogo ya mji wa Idlib yenye jina "Hakuna Uokovu kwa Mapinduzi ya Ash Sham Isipokuwa katika Utawala wa Uislamu".

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu