Ijumaa, 11 Dhu al-Qi'dah 1446 | 2025/05/09
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir/ Afghanistan: Wanafunzi Wanaharakati Wakiandamana dhidi ya Filamu Inayopinga Uislamu kwa Kumkejeli Mtume Muhammad (saw)

Wanaharakati kutoka Hizb ut Tahrir/ Afghanistan waliongozo maandamano ya wanafunzi mnamo Shawwal 1433 H - Septemba 16, 2012 M katika vyuo vikuu vyote ndani ya Kabul. Maandamano haya yalifanyika ili kupinga filamu iliyoandaliwa na Muamerika inayopinga Uislamu kwa kumkejeli Mtume Muhammad (saw) na uwepo wa Amerika ndani ya Afghanistan.

Soma zaidi...

Dola ya Uchina na Utawala wake Unaogopa Mwito wa La ilaha illa Allah

Jumanne, 2 Aprili 2019, Hizb ut Tahrir Kenya ilituma ujumbe wake kwa Ubalozi wa Uchina nchini Kenya. Ujumbe huo uliongozwa na Mkuu wa Kamati ya Mawasiliano wa Hizb ut Tahrir /Kenya Arkanuddinn Yassin, akifuatana na Shabani Mwalimu -Mwakilishi kwa Vyombo vya Habari wa Hizb ut Tahrir /Kenya. Waliwasili katika ubalozi mjini Nairobi saa 8:56 a.m EAT.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu