Jumatatu, 23 Muharram 1446 | 2024/07/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Denmark: Kongamano “Palestina Yalilia Ukombozi!”

Kwa kuzingatia matendo ya kishujaa yaliyofanywa na Mujahidina mashujaa katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) chini ya kauli mbiu ya (Kimbunga cha Al-Aqsa) dhidi ya umbile nyakuzi la Kiyahudi  ambalo liliendelea na mashambulizi yake dhidi ya Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na uzingiraji na upigaji mabomu wa kuendelea wa Ukanda wa Gaza kwa miaka 17

Soma zaidi...

Ushindi Utapatikana tu kwa Kulitokomeza Umbile Vamizi la Kiyahudi Pekee na hivyo Kuikomboa Ardhi Hiyo

Gazeti la ‘The Guardian’ liliripoti mnamo 24 Disemba 2023, “Kwa uchache watu 166 wameuwawa tangu Jumamosi, wizara ya afya katika eneo linalo endeshwa na Hamas ilisema, ikifikisha idadi ya waliouwawa hadi 20,424, ingawa maelfu zaidi wanaaminika kuzikwa chini ya vifusi.

Soma zaidi...

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kitengo cha Wanawake “Kongamano la Wanawake la Kimataifa: Je, Palestina Tutaikomboa Vipi?”

Huku umbile halifu la Mayahudi (Wazayuni) likiendelea na ulipuaji mabomu wa kinyama na kikatili wa Gaza, wanawake na watoto ndio wanaohimili uzito wa mauaji haya ya halaiki ambayo yamesababisha vifo na majeraha kwa zaidi ya wanaume na wanawake wa Kiislamu elfu 72 hadi kufikia sasa 

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu