Jumatatu, 23 Muharram 1446 | 2024/07/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Msururu wa Makongamano na Amali Pana za Kuinusuru na Kuiombea Nusra Palestina!

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki, iliandaa msururu wa makongamano, mikutano, semina, na amali pana za kuinua ufahamu wa Waislamu kwamba Umma wa Kiislamu lazima uyasukuma majeshi kusonga ili kuwanusuru Waislamu wanyonge katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kimabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake kutokana na najisi ya Mayahudi wa wauaji wahalifu.

Soma zaidi...

Maafa ya Maporomoko ya Ardhi kwenye Mlima Hanang: Somo Ambalo Halijazingatiwa

Hadi kufikia tarehe 9 Disemba, 2023, idadi ya vifo kutokana na maporomoko ya ardhi hivi karibuni katika Mlima Hanang katika Mkoa wa Manyara, Tanzania viliongezeka hadi kufikia watu 85. Mbali na idadi kubwa ya vifo, maporomoko hayo yalisababisha nyumba nyingi kuharibika au kusombwa na maji, kuathirika miundombinu na watu wa eneo kuyahama makaazi yao.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu