Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 449
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Pongezi za Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba wa Ujio wa Idd ul-Adha Al-Mubarak 1444 H
Hizb ut Tahrir inatoa pongezi za dhati na baraka nyingi kwa Umma wa Kiislamu kwa mnasaba wa Idd al-Adha iliyobarikiwa, ikimwomba Mwenyezi Mungu Mtukufu aifunike kwa siku za furaha, raha na utulivu, na kuuzunguka kwa baraka zake.
Pongezi kutoka kote Ulimwenguni kwa Mnasaba wa Idd Al Adha 1444 H
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon iliandaa msafara wa Takbir, Tahlil na Tahmid huko Miryata na vijiji vya Al-Danniyeeh kwa mnasaba wa kuingia siku kumi za Dhu al-Hijjah 1444 H.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon iliandaa msafara wa Takbir, Tahlil na Tahmid katika mji wa Tripoli Ash-Sham kwa mnasaba wa kuingia siku kumi za Dhu al-Hijjah 1444 H.
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir:
Kitengo cha Wanawake: “Wito wa Kuihami Heshima ya Dada Zetu Waislamu nchini Syria!”
Afisi Kuu ya Habari: Ulinganizi wa Kiulimwengu Sehemu ya 63 – Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume
Mnamo Alhamisi, 01/06/2023, Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia ilifanya mkutano na waandishi wa habari katika makao makuu yake huko Ariana chini ya kichwa: "Sera ya adhabu ya serikali kwa Hizb ut Tahrir: Je, ubaguzi utaendelea hadi lini?"
Je, kuna umuhimu gani wa uchaguzi wa rais nchini Uturuki kwa Waislamu ndani na nje ya nchi hiyo? Na ni matokeo gani yanayowezekana kutokea kufuatia uchaguzi wa Erdoğan au Kılıçdaroğlu?