Srebrenica na Mustakbali wa Waislamu Barani Ulaya
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Leo ni kumbukumbu ya miaka 25 tangu wanamgambo wa Kiserbia kutekeleza mauwaji ya halaiki katika mji wa Bosnia wa Srebrenica.
Leo ni kumbukumbu ya miaka 25 tangu wanamgambo wa Kiserbia kutekeleza mauwaji ya halaiki katika mji wa Bosnia wa Srebrenica.
Maulamaa (Wenye elimu) ni warithi wa Mitume (as), cheo ambacho hakitolewi kwa sababu tu ya kuidhinishwa na chuo kikuu chochote au madrasah, wala sio kwa elimu yenyewe ambayo wameipata.
Uislamu ni Ujumbe kwa wanaadamu wote. Unawalingania watu wote, bila kuzingatia rangi. Uislamu haukuja kwa jamii, kabila, au taifa moja, au kwa watu maalum wanaoishi katika zama au eneo maalum.
Milton Friedman, mwanzilishi wa uliberali mpya, aliandika katika kitabu chake juu ya Urasilimali mwaka 1981: Ni mgogoro tu – ima wa kihakika au wa kudhaniwa – huleta mabadiliko ya kweli.
Kila mmoja anamwita Mamo (Mjomba) na ndio maana kamwe haikuwa vizuri kumwita Naveed Butt.
Katika kipindi cha kuanguka kwa Waislamu, fikra ya Dini miongoni mwa Waislamu ilichukua ufahamu wa Wamagharibi, ambao ni ukasisi.
Si ajabu kwa kafiri kuishi katika dunia hii, akiwa amesahau kuhusu maisha ya Akhera, bila kukhofu nini kitatokea kwake.
Kuna baadhi ya Waislamu wanahoji kuwa kuurejesha tena mfumo wa Mwenyezi Mungu (swt), Khilafah kupitia njia ya Utume kuwa ni jambo lisilowezekana, kama wanavyodai kuwa mataifa yenye nguvu ya dunia kama Marekani, dola za Ulaya, Urusi, China na mengineyo yataungana kuivunja itakaporegea.
Mwanaadamu ni kiumbe, cha kibinafsi na pia ni kiumbe cha kijamii, kiasi cha kuwa balaa la kibinafsi na la kijamii humuathiri
Tuko katikati ya mwezi mtukufu wa Ramadhan. Kama Waislamu, tunafahamu baraka na malipo yanayo ambatana na mwezi huu mtukufu.