Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Kashmir inayokaliwa kimabavu inahitaji Uhamasishaji wa Vikosi vya Jeshi la Pakistan!
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Usaidizi wa kimaadili, kidiplomasia, na kisiasa pekee hautoshi kukomesha uvamizi wa kikatili! Waislamu wa Kashmir wanahitaji usaidizi wa kijeshi kutoka kwa Vikosi vya Wanajeshi wa Pakistan na mujahidina.



