Alhamisi, 26 Muharram 1446 | 2024/08/01
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Wilayah ya Lebanon: Kisimamo Mbele ya Ubalozi wa Misri "Al-Aqsa Yalilia Wanajeshi!"

Chini ya mazingira ya kupiga kambi kwa Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) kutokana na mashambulizi endelevu ya umbile la Kiyahudi dhidi ya Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa, na kuzingirwa kwake na taharuki ambayo imekuwa ikiendelea kwa miaka 15 kwenye Ukanda wa Gaza, Hizb ut -Tahrir / Wilayah Lebanon iliandaa kisimamo mbele ya ubalozi wa Misri jijini Beirut kwa anwani: "Al-Aqsa Yalilia Majeshi!"

Soma zaidi...

Wilayah Pakistan: Kisimamo katika Jiji la Karachi cha Kuunusuru Msikiti wa Al-Aqsa Al-Mubarak!

Chini ya mazingira ya kambi katika ardhi iliyobarikiwa (Palestina) ya mashambuliozi ya mara kwa mara yanayofanywa na umbile la Kiyahudi kwenye Msikiti wa Al-Aqsa uliobarikiwa na kuzingirwa kwake na kumiminiwa mabomu ambayo yameendelea kwa miaka 15 kwenye Ukanda wa Gaza, Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan iliandaa maandamano jijini Karachi ili kutoa wito na kutafuta nusra kutoka kwa majeshi ya Kiislamu, miongoni mwao likiwa ni jeshi la Pakistan, kuunusuru na kuukomboa Msikiti wa Al-Aqsa uliobarikiwa.

Soma zaidi...

Uingereza: Visimamo Viwili vya Kuunusuru Msikiti wa Al-Aqsa Uliobarikiwa!

Chini ya mazingira ya kambi juu ya Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) kutokana na mashambulizi endelevu ya umbile la Kiyahudi dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa uliobarikiwa na kuzingirwa kwake na makombora ambayo yamekuwa yakiendelea kwa miaka 15 kwenye Ukanda wa Gaza, Hizb ut-Tahrir / Uingereza iliandaa visimamo viwili jijini London na Birmingham vya kuwanusuru Waislamu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina).

Soma zaidi...

Denmark: Maandamano Mbele ya Ubalozi wa Misri ya Kuunusuru Msikiti wa Al-Aqsa Uliobarikiwa!

Chini ya mazingira ya kambi kwenye Ardhi iliyobarikiwa (Palestina) kutokana na mashambulizi endelevu ya umbile la Kiyahudi dhidi ya Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na kuzingirwa kwake na makombora ambayo yamekuwa yakiendelea kwa miaka 15 kwenye Ukanda wa Gaza, Hizb ut- Tahrir / Denmark iliandaa maandamano mbele ya ubalozi wa Misri jijini Copenhagen kwa anwani:  

Soma zaidi...

Wilayah ya Syria: Amali za Nusra kwa Msikiti wa Al-Aqsa na Ardhi Iliyobarikiwa

Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa msururu wa visimamo na maandamano kukemea unyanyasaji wa kinyama wa umbile la Kiyahudi dhidi ya wenye kuswali na kufanya itikaf katika Msikiti wa Al-Aqsa uliobarikiwa, ambao ulisababisha kujeruhiwa kwa Waislamu zaidi ya 600, wengi wao wakiwa vibaya, majeraha ya moja kwa moja kichwani.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu