Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Pongezi za Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba wa Sikukuu ya Idd ul-Adha Iliyo Barikiwa 1441 H
- Imepeperushwa katika Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Pongezi za Dkt. Nazreen Nawaz
Pongezi za Dkt. Nazreen Nawaz
Pongezi Kutoka kwa Wabebaji Da'wah Kote Ulimwenguni kwa Idd ul-Adha Iliyo Barikiwa 1441 H
Taarifa kutoka kwa watu huru wa Idlib ndani yake wakipinga kukamatwa kwa wabebaji Da'wah! Na wa mwisho wao ni Sheikh "Abdulqadir Hilal" na ndani yake wakiyaomba makundi kutoka katika ukimya wao na kupambanua haki mbele ya madhalimu!
Idara ya Facebook imeufunga ukurasa rasmi wa Kiingereza wa Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir kwa mara ya nne bila ya sababu yoyote.
Hizb ut Tahrir / Wilaya Sudan ilifanya mkao wake wa kila mara, mkao wa kadhia za Ummah, siku ya Jumamosi 4 Dhu al-Hijjah 1441 H sawia na 25/7/2020 M, na ambao ulikuwa kwa anwani:
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika mji wa Babka viungani mwa Aleppo Magharibi kwa anwani "Na ilikuwa ni haki juu yetu kuwanusuru Waumini"
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika kijiji cha Al-Sahara viungani mwa Aleppo kwa anwani: "Kujifunga na Amri za Mwenyezi Mungu Huleta Ushindi…
Japokuwa chini ya Ubepari, Pakistan ina uzito mdogo sana kiulimwengu kuliko vidola vidogo vyenye maliasili kidogo, kiasili imebarikiwa na Mwenyezi Mungu (swt) kwa rasilimali za nishati na Madini ya kutosha.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan ilifanya Mkao wake wa Kadhia za Ummah kwa anwani: Marekebisho ya Sheria ya Hivi Majuzi... Mtazamo Angavu Uliojengwa kwa Msingi wa Uislamu.
Baada ya uunganishaji kwa nguvu wa India wa Kashmir mnamo Alhamisi, 19 Agosti 2019 M, Waislamu Kashmir wanakabiliwa na ukandamizwaji wa kikatili kutoka kwa dola ya kibaniani.