Jumanne, 24 Muharram 1446 | 2024/07/30
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Amali za Kusoma Taarifa kwa Vyombo vya Habari ili Kuwanusuru Watu wa Turkestan Mashariki

Hizb ut Tahrir/ Wilayah Uturuki iliandaa amali za kusoma Taarifa kwa Vyombo vya Habari kuwanusuru watu wa Turkestan Mashariki ambapo wanakandamizwa kwa mikono ya Wachina kwa anwani, “Nani Ataipa Nussrah Turkestan Mashariki… Nani Atasitisha Ukandamizaji wa Uchina?!” Ilifanyika baada swala ya Juma’ katika miji saba.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Ardhi ya Baraka - Palestina: Kitengo cha Wanawake Kimeandaa Warsha kuhusu CEDAW

Kitengo cha Wanawake katika Hizb ut Tahrir ndani ya Ardhi ya Baraka (Palestina) kiliandaa mnamo Jumatano, 23 Rabii' Awwal 1441 H – 20 Novemba 2019 M warsha kubwa baada ya swala ya Asr ndani ya Msikiti wa Al-Sha'rawi huko Hebron (al-Khalil) ikiwa ni sehemu ya kampeni ya uzindushi dhidi ya CEDAW.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu