Wilayah Sudan: Ripoti ya Habari 17/04/2021
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kuendelea na amali za umma zilizofanywa na Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan katika mikoa na wilaya tofauti za nchi ili kuunda rai jumla ya umma ambayo inafahamu hukmu za Uislamu na suluhisho zake zinazohusiana na hali mbaya ambayo watu wanaishi ndani yake, ikiwakilisha utovu wa usalama na mapigano endelevu kati ya makabila tofauti tofauti, na kutoa wito wa kutekelezwa kwa usekula katika dola na jamii, na wanasiasa vibaraka, na wale waliopagawishwa na thaqafa ya Kimagharibi ...



