Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki Visimamo vya Kulaani "Kamwe Hatutaitelekeza Turkestan Mashariki!"
- Imepeperushwa katika Uturuki
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Utawala katili wa China unaendelea na mauaji na ukatili katika eneo la Turkestan Mashariki ambayo iliikalia kimabavu kwa miongo kadhaa bila ya kupungua, ambapo dola ya China, ambayo imewafungia mamilioni ya Waislamu wa Uyghur katika kambi za uzuizi kwa jina la (utoaji elimu), inatumia mateso kama silaha ya kutaka kuwaondoa Waislamu wa Turkestan Mashariki kutoka kwenye kitambulisho chao cha Kiislamu kwa kushajiishwa na watawala walio kimya katika nchi za Kiislamu