Jumapili, 22 Muharram 1446 | 2024/07/28
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Mzigo wa Fedha

Kenya: Baada ya mswada wa fedha kupitishwa na kutabanniwa na Serikali, sera ya ushuru ilinyanyua kwa kiasi kikubwa wigo wote wa uchumi. Kutabanniwa huku kumezalisha upinzani mkali na hasa wenye utata kuhusu ongezeko la ushuru la 8% kwenye bidhaa za mafuta, ushuru wa nyumba wa 1.5% kwenye mapato, pia ushuru wa 1.5% ya kwa maudhui ya kidijitali na mengi zaidi.

Soma zaidi...

Na Madhara Yanaendelea...

Katika nia ya kuuridhisha Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF), serikali ya Pakistan imetangaza kuondoa mara moja vikwazo vya kuagiza bidhaa kutoka nje. Hata hivyo, jumuiya ya wafanyibiashara na wachambuzi wote wanaamini kuwa hatua hii pekee haitaleta mabadiliko makubwa katika shughuli za kibiashara za kiutendaji isipokuwa akiba ya fedha za kigeni itaimarishwa kwa kiasi kikubwa. (Tribune)

Soma zaidi...

Watawala wa Banu Saud, ni Walaji Njama wa Mwanzo na wa Mwisho!

Katika makala ya gazeti la New York Times, yenye kichwa, "Utawala wa Biden Washiriki Jaribio la Muda Mrefu kwa Makubaliano ya Saudi-'Israel’" inaripotiwa kuwa, "Rais na wasaidizi wake wanasisitiza juhudi za kidiplomasia huku Riyadh ikitoa matakwa makubwa kwa badali ya uhalalishaji mahusiano, pamoja na makubaliano ya nyuklia na makubaliano thabiti ya usalama ya Marekani.”

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu