Pakistan yenye Nyuklia Ni Sehemu Isiyofutika ya Ummah wa Kiislamu, Yenye Uwezo wa Matokeo Katika Kiwango cha Kimataifa, Baada ya Kusimamishwa Khilafah Rashida
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kitengo cha vyombo vya habari cha vikosi vya jeshi vya Pakistan, Inter-Services Public Relations (ISPR), kilitoa taarifa kwa vyombo vya habari mnamo tarehe 17 Mei 2026, kikijibu kuwepo tishio kutoka kwa kamanda wa jeshi la Mabaniani, ambalo lilisema, “COAS ya India ilitoa taarifa ya uchochezi wakati wa mahojiano ya hivi karibuni kwamba ‘Pakistan inapaswa kuamua kama inataka kuwa sehemu ya jiografia na historia’...



