Uthabiti wa Hadithi, “Mimi Niko Mbali na Wale Walioishi Siku Arubaini baina ya Makafiri”
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kifiqh
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ni upi uthabiti wa hadithi ifuatayo: mimi niko mbali na wale wameishi siku arubaini baina ya makafiri? Na nini hukmu ya Kiislamu kwa mtu anayeishi katika nchi ya kikafiri kwa ajili ya kazi, na ipi hukumu ya kisheria kwa mtu anayeishi katika nchi ya kikafiri kwa ajili ya kusoma?