Je, Al-Aqsa Haina Salah ud- Din wa Kuitakasa kutokana na Najisi ya Mayahudi?
- Imepeperushwa katika Palestina
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika kumbukumbu ya maadhimisho ya ukombozi wa Jerusalem kutokana na karaha ya Makruseda, umbile la Kiyahudi linaidhinisha sheria inayofungua wazi mlango wa kuugeuza Msikiti wa Al-Aqsa kuwa sinagogi la Kiyahudi ambamo watafanya ibada na sala zao.