Hotuba katika Msikiti Uliobarikiwa wa Al-Aqsa kufuatia Upandishaji Bendera na Kunajisiwa kwa Msikiti wale ambao wameibua Hasira [Yenu]
- Imepeperushwa katika Palestina
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu ambaye mkononi mwake imo izza na ushindi, na rehema na amani zimshukie Mtume wa Mwenyezi Mungu, na jamaa zake, na maswahaba zake, na waliomfuata.
Enyi Waislamu... Enyi Majeshi ya Waislamu...