Kenya: Kampeni na Amali za Kutaka Kuachiliwa Huru kwa Naveed Butt!
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Zaidi ya miaka tisa imepita tangu serikali nchini Pakistan imteke nyara mhandisi Naveed Butt, msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan, na tangu alipotekwa nyara haijulikani alipo!