Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Umoja Chini ya Khilafah Utaimarisha Uchumi Wetu!
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Khilafah itakusanya rasilimali zetu nyingi kama dola moja Mafuta ya Saudi Arabia na Iran
Khilafah itakusanya rasilimali zetu nyingi kama dola moja Mafuta ya Saudi Arabia na Iran
Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Jordan inamuomboleza mbebaji Da`wah, Hajj Yussuf Muhammad Al-Awadhi (Abu Ayman), aliyekwenda kwenye rehema za Mwenyezi Mungu jana, Jumanne 30/11/2021 akiwa na umri wa miaka 80 ambayo aliitumia katika kumtii Mwenyezi Mungu na kubeba ulinganizi wa kuanzisha tena maisha kamili ya Kiislamu kupitia kusimamisha Khilafah Rashida ya pili kwa njia ya Utume.
Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa ya Palestina inaomboleza, mmoja wa wanaume wa Hizb ut Tahrir, mbebaji da'wah kutoka safu zake za kizazi cha kwanza, Marehemu kwa idhini ya Mwenyezi Mungu Mtukufu:
Hizb ut-Tahrir Wilayah Bangladesh yaandaa kongamano lake la kila mwaka kwa mwaka huu kupitia Mtandaoni na litakuwa chini ya kichwa:
Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa - Palestina ilionya juu ya njama chafu ya kuishambulia Al-Khalil kwa kutumia mizozo ya kifamilia na kuibua taharuki kwa kuzifinika kwa kufiniko cha ukoo.