Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 293
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Vichwa Vikuu vya Toleo 293
Vichwa Vikuu vya Toleo 293
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika kambi za Atma Magharibi, viungani mwa Idlib, kwa anwani, "Tunavyo Viungo vya Ushindi!"
Hizb ut Tahrir / Wilaya Syria iliandaa kisimamo katika mji wa Ariha, viungani mwa Idlib, kulaani mapigano ya kimakundi katika maandalizi ya suluhisho la kisiasa.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika mji wa Atma, viungani mwa Idlib, kwa anwani, "Tunavyo Viungo vya Ushindi!"
Vichwa Vikuu vya Toleo 292
Kitengo cha wanawake katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Jordan kiliandaa warsha ya wanawake kwa anwani "Ubebaji Ulinganizi wa Kiislamu" iliyo wasilishwa na Mheshimiwa dada Najah Al-Sabatin (Umm Mu'adh)
Iliyotolewa na: Mhandisi Ismail Al-Wahwah
Vichwa Vikuu vya Toleo 291
Hizb ut Tahrir/ Wilayah Syria: Kisimamo katika Kambi za Atma kwa Anwani ((قل للذين كفروا ستغلبون)) "Waambie walio kufuru: Karibuni mtashindwa...!" (Aali Imran: 12)
Kusimamisha nidhamu za Kiislamu ndiyo njia pekee ya ukombozi kwa watu wote, hususan Waamerika wenye asili ya Kiafrika, kwa kuonesha kwamba uraia wa daraja la pili ni wa kudumu.