Hizb ut Tahrir / Australia: Khutbah ya Ijumaa "Ummah Wenu ni Mtukufu: Msiudunishe!"
- Imepeperushwa katika Australia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
"Ummah Wenu ni Mtukufu: Msiudunishe!"
"Ummah Wenu ni Mtukufu: Msiudunishe!"
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria imeandaa kisimamo katika mji wa Qah viungani mwa Idlib kwa anwani "Lakini walio amini wanampenda Mwenyezi Mungu zaidi sana".
Vichwa Vikuu vya Toleo 294
Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia ilifanya mkutano wa waandishi habari mnamo Alhamisi asubuhi, Julai 2, 2020 kwa anwani "Mradi huu Unaweza Kuitoa Tunisia kutokana na Mfumo wa Majanga." Mkutano huu wa waandishi habari ulifanywa katika makao yake makuu yaliyoko makutano ya Sakra-Ariana katika mji mkuu.
Mnamo 11 Julai, 1995, majeshi ya Serbia yalivamia eneo la Waislamu la Srebrenica nchini Bosnia ambapo maelfu ya Waislamu walikuwa wametafuta himaya kutokana na mashambulizi ya jeshi la Serbia kaskazini mashariki mwa Bosnia.
Hizb ut Tahri / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika mji wa Babka viungani mwa Aleppo kwa anwani "Utiifu kwa Wafuasi Unagongana na Utiifu kwa Mola wa Walimwengu!"
Na: Ndugu Mahmoud Abu Swateef – Viungani mwa Aleppo Kaskazini
Bila kuangalia, Modi, Raja Dahir wa enzi zetu, angeendelea na kutokujali kumwaga damu takatifu ya mama, dada, kaka na watoto wetu.
Hizb ut Tahrir/ Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika mji wa Kah viungani wa Idlib kwa anwani "Tunavyo Viungo vya Ushindi"