Minbar ya Ummah: Kisimamo cha Kulaani katika Mkusanyiko wa Al-Karama "Mdhamini wa Kituruki ni Kuisalimisha Ardhi na Kumwaga Damu"
- Imepeperushwa katika Minbar Ummah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kisimamo cha kulaani katika mkusanyiko wa Al-Karama - viungani mwa Idlib chini ya anwani "Mdhamini wa Kituruki ni Kuisalimisha Ardhi na Kumwaga Damu" dhidi ya mauaji ya kidhulma na kiuadui ya mtoto "Ridhwan Sattam Al-Obaid" na askari wa Kituruki.