Mwaliko wa Kuhudhuria na Kushiriki katika Kikao cha Masuala ya Ummah
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Sisi, katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, tuna furaha kuwaalika ndugu zetu wanahabari, wanasiasa, na wale wenye hamu na masuala ya umma kuhudhuria na kushiriki katika kikao cha kila mwezi cha masuala ya Umma, ambacho mwezi huu kitakuwa kwa kichwa: El Fasher: Kituo Kilicho na Vurugu Zaidi katika Mzozo wa Kimataifa wa Sudan



