Hali ya Elimu nchini Jordan ni Msiba na Inahitaji Mabadiliko Msingi ya Uokoaji
- Imepeperushwa katika Jordan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Waziri wa Elimu na Waziri wa Elimu ya Juu, Azmi Mahafza, alisema mnamo Jumapili, Juni 18, 2023, "Wataalamu wanakadiria kuwa itachukua zaidi ya miaka 10 kushughulikia na kufidia upungufu wa elimu."