Mwaliko wa Kuhudhuria na Kushiriki katika Kikao cha Masuala ya Ummah
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Sisi, katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, tunafuraha kuwaalika wanataaluma wa vyombo vya habari, wanasiasa, na wale wanaohusika na masuala ya umma kuhudhuria na kushiriki katika Kikao cha Masuala ya Ummah wa kila mwezi, ambacho mwezi huu kitakuwa na kichwa: “Hatari ya Kuyatazama Mamlaka Kama Keki Inayopaswa Kugawanywa”