Ijumaa, 12 Dhu al-Hijjah 1447 | 2026/05/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Mashahidi Watatu Jijini San Diego: Matunda ya Chuki dhidi ya Uislamu

Nyoyo zetu zimejaa huzuni kufuatia mauaji ya kusikitisha ya Waislamu watatu katika msikiti mmoja jijini San Diego wakati wa siku takatifu za kwanza za Dhul Hijjah, miongoni mwa siku takatifu zaidi katika kalenda ya Kiislamu. Familia na jamii zinapojiandaa kwa Idd al-Adha, wakati wa ibada, kujitolea muhanga, na umoja, waumini wasio na hatia badala yake walikutana na vurugu na chuki ndani ya nyumba ya Mwenyezi Mungu (swt).

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Kampeni “Katika Kumbukumbu ya Miaka 14 ya Kutekwa Nyara Kwake… Mwachilieni Huru Naveed Butt!”

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan ilizindua kampeni ya mitandao ya kijamii, haswa kwenye mtandao wa X (zamani ikijulikana kama Twitter), yenye kichwa “Katika Kumbukumbu ya Miaka 14 ya Kutekwa Nyara Kwake... Mwachilieni Huru Naveed Butt!” Kampeni hii inalenga kuishinikiza serikali dhalimu ya Pakistan, ambayo huduma zao za siri zilimteka nyara Mhandisi Naveed Butt, msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir nchini Pakistan, miaka 14 iliyopita mbele ya familia yake na majirani zake.

Soma zaidi...

Fursa ya Dhahabu Imo Mikononi Mwenu... Simamisheni Khilafah!

Enyi Majeshi ya Pakistan! Fursa ya dhahabu iko mikononi mwenu. Simamisheni Khilafah, unganisheni Mashariki ya Kati chini ya uongozi wenu, na ifukuzeni Amerika kutoka katika Ardhi za Waislamu. Ahadi ya Mwenyezi Mungu ya tamkini na nasr (ushindi) wake iko pamoja nanyi. Dunia iko karibu na mabadiliko makubwa. Kwa nguvu ya Iman yenu, fuateni njia ya Ansar (ra) wa Al-Madina na muregeshe nuru ya Uislamu kwa ulimwengu kupitia mfumo wake wa utawala.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu