Jumapili, 12 Rabi' al-awwal 1446 | 2024/09/15
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Inatosha Udhalilifu, Shutma, na Uombaji kwa Umbile la Kiyahudi na Wafuasi wake Waovu! Majeshi ya Umma Na Yalimalize Umbile hili Katili ndani ya Saa Moja!

Kabla ya watawala wa Misri na Jordan kuhitimisha makubaliano ya udhalilishaji na fedheha pamoja na umbile la Kiyahudi na kutambua uwepo wake katika Ardhi Iliyobarikiwa ya Palestina na iliyo na Misikiti wa tatu kwa utukufu baada ya misikiti miwili Mitukufu, Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa

Soma zaidi...

Serikali Inaiba Akiba ya Watu Iliyo Chumwa kwa Tabu kupitia Kuchapisha Pesa Mpya bila Uegemezi wa Mali Halisi; ni Kipimo cha Madini Mawili (Dhahabu na Fedha) cha Dola ya Khilafah pekee ndicho kinacho weza kumaliza Utawala wa Kifedha wa Urasilimali

Benki ya Bangladesh iliunda pesa mpya kwa zaidi ya Taka bilioni 500 katika kipindi cha Julai-Disemba kwa jina la usaidizi wa bajeti, ambazo ni za juu zaidi katika historia ya hivi majuzi (The Business Standard, Januari 03, 2023), ili kufidia pesa zilizoporwa kutoka kwa mabenki na kipote cha Mabepari.

Soma zaidi...

Ubalozi wa Marekani waalika Kamati ya Walimu nchini Sudan kwenye Mkutano Watawala wa Sudan, mko wapi? Mumetuletea Fedheha Gani?!

Imeelezwa katika gazeti la Al-Sudani lililotolewa leo Jumanne tarehe 10/1/2023 na vyombo vyengine vya habari kwamba, Afisi ya Utendaji ya Kamati ya Walimu ya Sudan ilipokea mwaliko kutoka kwa Ubalozi wa Marekani jijini Khartoum kufanya kikao cha pamoja, na Kamati hiyo ilisema katika taarifa yake fupi jana jioni kuwa kikao hicho kinalenga kujadili baadhi ya masuala yanayohusu Elimu, na athari za mgomo wa sasa wa walimu.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu