Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 425
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Baada ya duru mfululizo za upigaji kura kumpata mgombea wa Republican Kevin McCarthy kuwa spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani, wana Republican 20 wenye msimamo mkali wamesalia kupinga azma yake.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika mji wa Babika viungani mwa Aleppo Magharibi
China imegundua mbinu ya usanifu wa microchip ambayo hapo awali ilikuwa imebobewa tu na nchi za Magharibi, katika pambano ambalo linaweza kudhoofisha vikwazo.
Katika mkutano ulioongozwa na Mwenyekiti wa Baraza la Utawala, Luteni Jenerali Abdel Fattah Al-Burhan, mnamo Jumanne, tarehe 03/01/2023, kwenye Uongozi Mkuu wa Majeshi,
Katika ajenda siku hizi ni kashfa kuhusu dawa ya kikohozi ya Doc-1 Max inayotengezwa nchini India ambayo imepoteza maisha ya watoto 19 nchini mwetu hadi sasa. Vyombo vikuu vya habari vya kigeni pia vinaangazia suala hilo.
Ukweli kwamba ulimwengu haukupata mgogoro wa kifedha wa kimfumo mnamo 2022 ni muujiza mdogo, kutokana na kupanda kwa mfumko wa bei na viwango vya riba, bila kutaja ongezeko kubwa la hatari ya kijiografia na kisiasa.
Joe Biden alitia saini Sheria ya Kuheshimu Ndoa. Mswada wa kulinda haki ya watu wa nchi hiyo kuingia katika ndoa za watu wa jinsia moja na watu wa rangi tofauti uliungwa mkono na wawakilishi wa pande zote mbili katika Bunge la Seneti, kwa mujibu wa makala "Rais wa Marekani Atia Saini Sheria ya Kulinda Ndoa za Jinsia Moja" katika tovuti ya DW.
Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) ulitangaza kuidhinisha mpango wa ushirikiano wa miezi 46 kwa Misri, wa kiasi cha dolari za Marekani bilioni 3, kulingana na taarifa kutoka IMF mnamo Jumamosi 12/17/2022.
Sisi, katika Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir/Wilayah ya Sudan, tunafuraha kuwaalika ndugu katika vyombo vya habari, wanasiasa, na watu wa fikra na maoni, kuhudhuria na kushiriki katika Mkao wa Kadhia za Ummah wa kila mwezi, ambao unashughulikia masuala ya kisasa