Jumatatu, 30 Muharram 1446 | 2024/08/05
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Je, Kunyanyua Kauli Mbiu ya "Kujitosheleza" Kunawiana na Kuomba Usaidizi wa Kimataifa, Ee Serikali ya Wokovu Kaskazini mwa Yemeni?

Serikali ya Wokovu jijini Sanaa ilizindua ombi kupitia kwa Waziri wake wa Mambo ya Nje, Hisham Sharaf, kwa mawaziri wa mambo ya nje wa Sweden na Switzerland, katika nafasi zao kama wenyeviti wa Kongamano la Wafadhili kuhusu Hali ya Kibinadamu nchini Yemen kwa mwaka wa 2022.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria Maandamano ya Kijiji cha Kafra "Hakuna Mbadala katika Kuiangusha Serikali na Kusimamisha Utawala wa Uislamu"

Katika kumbukumbu ya miaka kumi na moja ya Mapinduzi Matukufu, Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika kijiji cha Kafra viungani mwa Azaz, kwa anwani "Hakuna Mbadala katika Kuiangusha Serikali na Kusimamisha Utawala wa Uislamu!".

Soma zaidi...

Mahakama Kuu ya Kisekula ya Karnataka Inasubutuje kutoa "Fatwa" kuhusiana na kile ambacho Mwenyezi Mungu (swt) Amewafaradhisha Waislamu! Enyi Waislamu! Ni nani Mwengine Isipokuwa Khilafah Atalinda Haki na Heshima za Dada zetu?

Kwa kushikilia marufuku ya hijab kwa wasichana wa shule na walimu wa Kiislamu katika taasisi za elimu chini ya serikali ya Jimbo hili inayoendeshwa na chama chenye misimamo mikali cha Hindutva Bharatiya Janata (BJP),

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu