Kifo cha Dolari
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kumekuwa na mazungumzo mengi juu ya kifo cha dolari na katika muongo mmoja uliopita, idadi kadhaa ya wenye kushindana imeibuka kudai nafasi ya ubwana wa dolari.
Kumekuwa na mazungumzo mengi juu ya kifo cha dolari na katika muongo mmoja uliopita, idadi kadhaa ya wenye kushindana imeibuka kudai nafasi ya ubwana wa dolari.
Japan itasambaza gesi yake asili myayuko kwa Ulaya: wawakilishi wa Muungano wa Ulaya (EU) na Amerika wameielezea Tokyo juu ya ombi hilo.
Wakati sisi Waislamu tunapofikiria kuhusu dori ya wanawake katika vyombo vya habari, kuna uhalisia wa aina unaojitokeza akilini.
Urusi iliingilia kati kwa jina la Shirika la Mkataba wa Usalama wa Pamoja nchini Kazakhstan baada ya rais wake, Kassym-Jomart Tokayev, kuomba msaada wake katika kuzima maandamano yaliyozuka nchini mwake, baada ya bei ya gesi ya kimiminika kupanda maradufu, na kisha kupanda ghafla...
Uchaguzi wa manispaa ya Jordan, ambao unajumuisha mabaraza ya majimbo, mabaraza ya manispaa, na Baraza la Manispaa ya Amman, utafanyika mnamo tarehe 22/3/2022, kulingana na Tume Huru ya Uchaguzi ilivyotangaza.
Hizb ut-Tahrir / Sweden iliandaa maandamano katika mji mkuu, Stockholm, kupinga utekaji nyara wa huduma za kijamii kwa watoto wa Kiislamu ndani ya mfumo wa sera uoanishaji ya Sweden.
Kama mnavyojua, katika bara hili, baada ya miaka mia mbili ya mapambano dhidi ya unyonyaji na ukandamizaji wa ukoloni wa Uingereza, Pakistan na India ziliibuka kama Dola huru mnamo tarehe 14 na 15 Agosti 1947 mtawalia. Baadaye mwaka wa 1971 Bangladesh iliibuka kama Dola huru.
Gazeti la Express Tribune nchini Pakistan limeripoti mnamo tarehe 30 Januari 2022, “Upandikizaji wa mwanzo uliobadilishwa kigenetiki wa moyo wa nguruwe kwa mgonjwa anayeugua mahututi umechemsha mjadala mkali miongoni mwa Waislamu kote duniani.
Ni upi usahihi wa huu msingi wa kisheria? Na je yafaa kuutumia kama dalili ya kutekeleza hukmu za kisheria polepole? [msingi wenyewe ni:
Khilafah, iliyowaunganisha Waislamu na iliyokuwa ngao ya ulinzi ya Ummah, ilivunjwa mnamo tarehe 28 Rajab 1342 H, sawia na Machi 3, 1924, na nchi za Magharibi zikiongozwa na Uingereza na kwa msaada wa vibaraka wao wa ndani.