Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (422-423)
- Imepeperushwa katika Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Hotuba ya tarehe 3 Novemba 2021 ya Waziri Mkuu wa Pakistan, Imran Khan, kuhusu mfumko wa bei ilikuwa ni kuandaa maoni kwa kundi jengine la sera angamivu za kiuchumi za IMF.
Khilafah Itatokomeza Mfumko wa Bei Uliokithiri, kupitia Sarafu ya Dhahabu na Fedha
Pakistan hutumia zaidi ya nusu ya ushuru unaokusanywa kwa malipo ya riba.
Gazeti la Khaleej Times nchini UAE liliripoti kwamba kuna ongezeko la kutia wasiwasi la watoto wanaokimbia nyumbani.
Mfumo wa Kirasilimali unaotawala dunia nzima leo ingawa unapiga domo tupu kuhusu kuyajali mazingira kiuhalisia unalenga kuongeza uzalishaji na kuwatajirisha kipote cha mabwenyenye wachache kwa gharama yoyote ile.
Waziri Mkuu Imran Khan mnamo Jumatano alihutubia taifa kutangaza kifurushi cha kupunguza hali ngumu ya umma ulioathiriwa na mfumko wa bei.
Mfumo wa Upendeleo Jumla (GSP) kwa bidhaa za Bangladesh katika soko la Amerika ulisimamishwa mnamo mwaka wa 2013. Mojawapo ya masharti ya kuregesha manufaa ya GSP ilikuwa kukomeshwa kwa ajira ya watoto.
COP26 itazihimiza nchi 195 kutekeleza ahadi walizotoa walipokuwa wakikubaliana juu ya Mkataba wa Paris wakati wa COP21 mwaka 2015.