Jumatano, 05 Dhu al-Qi'dah 1447 | 2026/04/22
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Tajikistan: Ndevu zina Maana ya Kisiasa

Aprili 26: Mkuu wa Kamati ya Mambo ya Vijana na Michezo ya Tajikistan Abdullo Rakhmonzoda, alikashifu wanablogu wenye ndevu katika mkutano mmoja wa ndani akisema kwamba "upigiaji upatu wa ndevu katika mitandao ya kijamii unatishia usalama wa taifa"."Harakati iliyopigwa marufuku ya Taliban, ambayo ilipindua serikali ya watu nchini Afghanistan, sasa inapigia debe ndevu kwa bidii.

Soma zaidi...

Anayechukua maagizo kutoka kwa Mwenyezi Mungu, Hutawala kwa Mujibu wa Uislamu, Sio kwa Mujibu wa Usekula na Demokrasia, Ewe Erdogan!

Je, Bw Kemal na wafuasi wake wanapata wapi maagizo yao? Kutoka kwa magaidi huko Kandil. Na sisi tunapokea maagizo kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Je, mnamo tarehe 14 Mei, tuko tayari kuwazika wale wanaochukua maagizo kutoka mlimani? Sina shaka na hilo.

Soma zaidi...

Njama Mpya Inatayarishwa Dhidi ya Mapinduzi Yanayohitaji Kuingiliwa Upya na Ujasusi wa Hay'at Tahrir al-Sham

Mnamo Jumapili tarehe 7/5/2023, Hay'at Tahrir al-Sham (HTS) alikamata idadi ya wanachama wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria, akiwemo Mkuu wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Syria, Ahmed Abdul Wahhab, Mjumbe wa Afisi ya Habari, Nasser Sheikh Abdul Hai, na baadhi ya wabebaji wa Dawah katika maeneo ya Idlib.

Soma zaidi...

Serikali ya Aden Haiwezi Kusimamia dhidi ya Mabwana Zake Walioikabidhi Madaraka ni Dola ya Khilafah Rashida Pekee ndiyo yenye Uwezo wa Kuwalinda Waislamu

Mnamo Ijumaa asubuhi, tarehe 28/4/2023, Askari wa Kikosi cha Ulinzi wa Pwani ya Yemen waliokuwa wakishika doria katika eneo la Ras Fartak na Hasween katika Jimbo la Al-Mahra, mashariki mwa Yemen, walifyatuliwa risasi na meli ya kivita ya Uingereza, na kumuua mwanajeshi mmoja na kuwajeruhi wengine.

Soma zaidi...

Jibu la Swali: Tofauti Kati ya Manabii na Mitume, Amani Iwe Juu Yao

“Kwa hivyo, Musa (as) alikuwa Nabii kwa sababu alipewa wahyi na Shari’ah na Mtume kwa sababu Shari’ah hii ilikuwa kwa ajili ya utume wake. Kwa upande mwingine, ingawa Harun (as) pia alikuwa ni Nabii kwa sababu alipewa wahyi na Shari ́ah, hakuwa Mtume kwa sababu Shari ́ah iliyoteremshwa kwake haikuwa kwa ajili ya utume wake, bali ilikuwa kwa ajili ya utume wa Musa (as)”.

Soma zaidi...

Kwa kuogopa Kuondolewa Madaraka Haraka, Serikali ya Hasina imejisalimisha kwa matakwa ya Marekani kupitia kutangaza mtazamo wake rasmi wa Indo-Pasifiki

Bangladesh mnamo Jumatatu ilifichua rasmi mtazamo wake wa nukta 15 za Indo-Pasifiki unaotazamia kuwepo kwa Indo-Pasifiki huru, wazi, yenye amani, salama, na jumuishi siku moja kabla ya kuanza kwa ziara ya mataifa matatu ya Waziri Mkuu Sheikh Hasina nchini Japan, Marekani na Uingereza.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu