Jeshi la Kiingereza la India na Uungaji Mkono Wake wa Ukoloni wa Kiingereza
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Maadhimisho ya Vita vya Haifa yaliadhimishwa mnamo 23 Septemba nchini India na 'Israel'. Kila mwaka katika siku hii, maafisa wa India hutoa heshima kwa wanajeshi wao waliopigana na kuishinda Khilafah Uthmani.