Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo 419
- Imepeperushwa katika Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Syria iliandaa kisimamo katika mji wa Ariha viungani mwa Idlib kwa anwani "Daraa Yaomba Nusra kwa Wenye Ikhlasi na Yafunua Barakoa kutoka kwa Wanyonge!"
Silaha za kisasa za majeshi waoga wa Amerika hazikulingana na Waislamu wenye silaha duni ambao hawakumuogopa yeyote isipokuwa Mwenyezi Mungu (swt), huku wakitamani kuuawa mashahidi au ushindi.
Mnamo Jumamosi, 28 Dhu al-Hijjah 1442 H sawia na tarehe 07/08/2021 M, Jukwaa la Kadhia za Umma la Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan lilifanyika katika ukumbi wa afisi ya hizb jijini Khartoum,
Utatanishi ni hali ya kisaikolojia ya mwanadamu ambayo hutokea pindi akili inapokubaliana na mawazo mawili yanayo kinzana kiasi cha kumfanya mtu kukosa utulivu.
Hizb ut Tahrir / Denmark yaandaa kongamano kwa anwani "Udhibiti wa Kijamii na Jamii Sambamba?!"
Hizb ut-Tahrir / Wilayah Pakistan inaandaa kampeni kubwa kwenye mitandao ya kijamii kwa anwani "Kuikomboa Kashmir ni Faradhi ya kisheria!" Ili kuthibitisha uhakika wa kisheria kuhusu kadhia ya Kashmir, kwamba ni ardhi za Kiislamu zinazokaliwa na Dola kafiri ya Kibaniani,
Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria kiliandaa maandamano katika mji wa Atma viungani mwa Idlib kwa anwani "Wanawake wa Kaskazini Wawaitikia Wanawake wa Daraa; ni Nani Basi kwa Ajili ya Wanawake Hawa Wote Atakayeijibu Fazaa!"
Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria kiliandaa maandamano katika mji wa Idlib kwa anwani "Inusuruni Daraa!"
Kila msimu wa uchaguzi nchini Kenya huleta miungano mipya ya kisiasa. Huku uchaguzi ujao ukikaribia, tabaka hilo la wanasiasa linajishughulisha na kuunda miungano mipya huku hatamu ya Uhuru Kenyatta ikifikia mwisho.