Kurudisha Khilafah: Suluhisho kwa Matatizo ya Somalia
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Somalia ni taifa ambalo linaruka janga kuingia janga jingine yote yakichochewa na wakoloni Wamagharibi wakiongozwa na Amerika na washirika wake upande mmoja na Ulaya, hususan Uingereza na washirika wake upande mwingine.