Hizb ut Tahrir / Australia: Khutbah ya Ijumaa “Yemen: “Mapambano Yaliyo Sahaulika”
- Imepeperushwa katika Australia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Iliyotolewa na: Mhandisi Ismail Al-Wahwah
Iliyotolewa na: Mhandisi Ismail Al-Wahwah
Hizb ut Tahrir / Malaysia ilifanya maandamano ya amani mbele ya Ubalozi wa India, Kuala Lumpur mnamo 06/03/2020, kupinga mauaji ya Waislamu nchini India, haswa mjini New Delhi.
Kama sehemu ya mfululizo wa amali ambazo Hizb ut Tahrir nchini Australia iliandaa kumuunga mkono ndugu Ismail al Wahwah (Abu Anas), Mwanachama wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir nchini Australia, ambaye amewekwa kizuizini na huduma za usalama za serikali ya Jordan alipo wasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Malkia Alia mnamo Jumatano 25/7/2018.
Muislamu kamili sio yule ambaye anatekeleza kikamilifu suala moja la dini na kuyaacha masuala mengine, bali ni yule ambaye anakamilisha majukumu yake kwa wengine kama vile: wazazi, rafiki, watoto, majirani, mwajiri, jamii na Ummah wao!
Vichwa Vikuu vya Toleo 292
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir imezindua kampeni hii ya kiulimwengu kuadhimisha Ukombozi wa Konstantinopoli iliyo zingirwa kuanzia 26 ya Rabii’ al-Awwal mpaka 20 Jumada al-Awwal 857 H sawia na 5 Aprili hadi 29 Mei 1453 M.
Serikali ya Bajwa-Imran imewasilisha mswada katika Bunge la Kitaifa kurekebisha Sheria ya NEPRA ya 1997, kwamba NEPRA (Mamlaka ya Kitaifa ya Udhibiti wa Umeme) inaweza kutoza ada ya ziada kwa watumiaji umeme ipendapo.
Jioni ya tarehe 16 Juni 2020, karibu vikosi ishirini vya India viliuawa na Wachina, wakati wa taharuki ambazo zinatoa fursa nzuri ya kusimamisha tena Khilafah nchini Pakistan.
Ni takriban majuma 12 sasa misikiti kote nchini imefungwa kwa ajili ya swala za Ijumaa tangu kushadidiwa kwa Amri ya Kudhibiti wa Matembezi (MCO) iliyo tolewa na Serikali.
Baada ya majuma mawili ya kuendesha kampeni "Funga Viwanda vya Pombe", , Hizb ut Tahrir / Malaysia (HTM) leo ilikabidhi waraka wa wazi kwa Mamlaka nyingi za Miji kote nchini, ikizisihi kwamba leseni zote za viwanda vya pombe na maduka, zifutiliwe mbali na kusitolewe leseni mpya kwao.