Jumatatu, 23 Muharram 1446 | 2024/07/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

“Fungeni Viwanda vya Pombe” – Uwasilishaji wa Hizb ut Tahrir wa waraka ulikataliwa na Waziri wa Masuala ya Kidini lakini wengine wawili walipokea.

Ujumbe wa Chama ukiongozwa na Msemaji wake Ustaadh Abdul Hakim Othman uliwasili sehemu ya kwanza, yaani afisi ya Waziri katika Idara ya Waziri Mkuu (Masuala ya Kidini), lilikuwa jambo la kuudhi na kukera pale ambapo afisi ilipo kata miadi ya HTM.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir/ Wilaya Afghanistan: Msimamo Imara kwa Ummah Ulio Amka

Mnamo Septemba 17 katika mkoa wa Laghman, mauaji ya wanawake 14 na watoto wasio na hatia yaliyo fanywa na makruseda, wakimtukana Mtume wetu (saw) na kama kawaida majibu ya aibu ya watawala wasaliti, ambayo hayajawahi kuwepo katika miaka 1400 ya historia, na uhaini mwingine kama huu unaofanywa na maadui wa Uislamu ni kutokana na kukosekana kwa ngao yenye ikhlasi (Khalifah) na Dola ya Khilafah.

Soma zaidi...

Miaka 97 ya Kuomboleza na Kutaabika Chini ya Idhilali ya Ukoloni wa Urasilimali

Kwa takriban miaka 1300 ya kuishi chini ya usimamizi wa Khilafah, Ummah huu ulifurahia amani, utulivu na ufanisi katika muda wote huo. Lakini, kila kitu kilikoma mnamo 28 Rajab 1342 H sawia na 3 Machi 1924 pindi wanafiki na wapatilizaji fursa walipotongozwa na thaqafa ya kikafiri na kuvutiwa na mfumo wake wa kimaisha wakiongozwa na Mustafa Kamal

Soma zaidi...

Ziara ya Waziri wa Kigeni wa Zamani wa Amerika Tillerson Barani Afrika ililenga Umwagaji Damu Zaidi ya Waislamu Kwa Kisingizio cha Mipango ya Vita Dhidi ya Ugaidi

Ziara hiyo ilidokezwa na afisa mkuu wa Wizara ya Kigeni kama ufuatiliziaji juu ya mkutano kati ya Waziri Tillerson na mawaziri wa kigeni wa bara la Afrika jijini Washington mnamo Novemba 2017 ulioandaliwa kwa haraka na ambao uhudhuriaji wake ulikuwa mbaya.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu