Ijumaa, 01 Jumada al-thani 1447 | 2025/11/21
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Ufyonzaji wa Urasilimali

Utaratibu wa ufuatiliaji wa serikali 'wa upande mmoja', madai ya mabwenyenye wa sukari na zaidi ya yote ufichaji umesababisha ongezeko la karibu Rs20 kwa kilo kwa bei ya sukari katika siku 15 zilizopita pekee, na kuwaacha watu waliokumbwa na mfumko wa bei wakiwa hawana chaguo ila kununua bidhaa hiyo kwa viwango vya juu. (Dawn News)

Soma zaidi...

Kuwasilisha Elimu ya Ngono katika Kongamano la Kielimu Kunajiri katika Muktadha wa Kisiasa wa Serikali Ambayo Imetangaza Vita Vyake juu ya Hukmu Zilizobakia za Uislamu na Kuhalalisha Maadili ya Hadhara ya Magharibi

Katika Kongamano la Mtaala wa Elimu wa hatua za shule za kati na za upili, ambao ulianza kazi yake tarehe 05/01/2021, chini ya kauli mbiu: "Kwa ajili ya mtaala unaosimamia maadili ya kibinadamu,

Soma zaidi...

Mahdi Al-Mashat Aliota!! Na Pindi alipoamka, Alikataa Mchana Peupe Kubeba Mas'uliya kwa Wale Aliowateuwa Yeye Mwenyewe kama Mtawala Wao

Yule anayeitwa Mkuu wa Afisi ya Upeo ya Kisiasa jijini Sanaa, Mahdi Al-Mashat, katika ujumbe aliamuru viongozi wa Wizara ya Afya kuitambua hospitali ambayo inajumuisha utaalamu maarufu zaidi katika kila vitengo vya magatuzi yaliyo chini ya udhibiti wa wanamgambo wake,

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu