Zaka juu ya Pesa Shirika
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kifiqh
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mada: Je, Zaka ni ibada ya kipeke yake?
Mada: Je, Zaka ni ibada ya kipeke yake?
Katika habari zilizo chapishwa na gazeti la New York Times katika tovuti yake mnamo 10/08/2020, liliashiria telegram ya kidiplomasia iliyo na alama isiyojulikana, lakini yenye na hisia nzito,
Mwanamke mmoja wa Kipalestina mwenye umri wa miaka 23 aliuwawa shahidi na risasi za majeshi ya uvamizi ya Kizayuni wakati wa ghasia katika mji wa Jenin,
Umoja wa Mataifa umeripoti kwamba mashambulizi ya anga mnamo Alhamisi 6 Agosti yaliyofanywa na muungano wa Saudia na Imarati katika jimbo linaloshikiliwa na Houthi la al-Jawf kaskazini mwa Yemen yamewauwa kwa uchache watoto 9.
Hakika Wamagharibi makafiri chini ya uongozi wa Amerika wamedumu katika kupanga dhidi ya "mapinduzi" ya Ash-Sham na watu wake kwa muda wa miaka tisa iliyopita,
Agosti 5, mwaka 2020 ilitimiza mwaka mmoja tokea Modi (Raisi wa India) alipoanza mzingiro kwa Kashmir iliokaliwa kimabavu.
Waislamu na watahadhari juu ya hatua za sasa katika njia ya mpango wa Amerika wa Muundo mpya wa Afghan.
Vichwa Vikuu vya Toleo 299
Mnamo 27 Julai FSB ya Urusi ilitangaza kummaliza yule anayeitwa "gaidi" katika jiji la Khimki karibu na Moscow. Kwa mujibu wa Huduma Maalum, Mtajik Odil Kayumov mwenye umri wa miaka 19 alidaiwa kupanga shambulizi la kigaidi katika sehemu zilizo na umati mkubwa.
Sera ya kuisalimisha Kashmir ilianzishwa na Musharraf kwa maagizo ya Amerika. Sasa, ili kuikomboa Kashmir Pakistan haina chaguo jengine, isipokuwa kutumia nguvu za kijeshi, baada ya serikali ya Modi kufutilia mbali hadhi spesheli ya Kashmir na kuiunganisha kwa lazima na Muungano wa India, ambao huu ni msitari wa mwisho mwekundu kuvukwa na India.