Kuhusu Kongamano la Usalama la 53 jijini Munich
- Imepeperushwa katika Ujerumani
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika uwezo wake kama wadhifa wa juu, Rais Frank-Walter Steinmeier alichora mipangilio ya sera za kigeni na usalama za Ujerumani.
Katika uwezo wake kama wadhifa wa juu, Rais Frank-Walter Steinmeier alichora mipangilio ya sera za kigeni na usalama za Ujerumani.
Chini ya muongozo wa Amiri wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa, Ata Bin Khalil Abu Rashtah, Mwenyezi Mungu amuhifadhi, Hizb ut Tahrir ilizindua kampeni pana ya kiulimwengu ya kumbukumbu ya 99 ya Kuanguka Khilafah.
Hizb ut Tahrir katika Wilayah Syria imeandaa maandamano katika barabara ya Atmaa mbele ya Hospitali ya Al Hadaya, viungani mwa Idlib, "Ni vipi kuhusu Kuanguka kwa Serikali Hii?"
Enyi Vijana Jasiri makini na Waaminifu! Mfumo wa Dola wa sasa Hauwezekani Kurekebishwa - Suluhisho sahihi pekee Nikuubadilisha Kikamilifu Mfumo huu kupitia Kusimamisha Tena Khilafah Rashida
Iliyotolewa na Ismail Al-Wahwah (Abu Anas)
Kumbukumbu ya maumivu inapita siku hizi, ambayo ni kumbukumbu ya kuvunjwa kwa Khilafah kupitia mhalifu wa karne hii, Mustafa Kemal, tarehe ishirini na nane Rajab 1342 H, sawia na Machi 3, 1924 M.
Kituo cha Televisheni ya Denmark TV2 kilichapisha makala mnamo Januari 15 kwa kichwa: “Serikali inataka kuzilazimisha manispaa kuwaondoa watoto wanaokulia katika mazingira ya misimamo mikali.”
Katika kujibu shambulizi la kinyama kwa Waislamu wenzetu wa Uighur Mashariki ya Turkistan yaliyo fanywa na serikali ya China, na pia chini ya muongozo wa Mwanachuoni mkubwa Ata Bin Khalil Abu al-Rashtah, Amir wa Hizb ut Tahrir, ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Australia ulitembelea Ubalozi wa China uliopo jijini Sydney
Vichwa Vikuu vya Toleo 281
Enyi Maafisa Wenye ikhlasi katika Jeshi, hadi lini mtanyamaza Kimya dhidi ya unyama huu kwa Ummah wa Kiislamu! Chukueni msimamo wenu katika upande wa Waislamu. Ipeni Nusra Hizb ut Tahrir kwa ajili ya Kusimamisha Tena Khilafah.