Al-Waqiyah TV: Kipindi cha Miangaza, “Trump Anawasaliti Wasaliti!”
- Imepeperushwa katika Al-Waqiyah TV
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Maoni ya Kisiasa ya Kila Wiki
Maoni ya Kisiasa ya Kila Wiki
Maoni ya Kisiasa ya Kila Wiki
Kiongozi wa kiulimwengu wa Kanisa Katoliki, Papa Francis yuko katika ziara ya kipapa barani Afrika ya siku tano. Alipokuwa nchini Kenya, Papa huyo alifanya mazungumzo na viongozi wa madhehebu mbali mbali ya kidini kuhusiana na ushirikiano na umoja wa kidini miongoni mwa dini tofauti tofauti.
Kifo cha mwanafunzi mmoja na kujeruhiwa vibaya kwa wanafunzi thelathini wa Chuo Kikuu cha Strathmore katika jiji kuu la Nairobi katika Zoezi lililo kwenda mrama la Kupambana na Ugaidi ni jambo la kuvunja moyo na ambalo lastahili kukemewa na kila muekaji amani.
Katika mwezi wa Rabi ul-Awwal, sherehe na shamra shamra nyingi hushuhudiwa miongoni mwa Waislamu wengi, kama kumbukumbu ya mazazi ya Mtume Muhammad (saw). Matukio haya ni thibitisho la kutosha linalo ashiria kuwa Ummah huu ungali umejifunga na hamasa za kutukuza ibada zao.
Vichwa Vikuu vya Toleo 277
Katika hatua ya kijinga inayofanana na uongozi wake, Mwana wa Mfalme wa Saudi Mohammad Bin Salman, anayejulikana kama MBS, alibuni janga la mafuta wiki hii lililoshinikiza masoko ya fedha na linaweza kuwaharibia wazalishaji mafuta wa Amerika.
CNN ilielezea wasiwasi wake kwamba kiongozi wa Amerika anakuwa hajali na kuyahatarisha maisha ya Waamerika kutokana na mtazamo wake.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano ndani ya kijiji cha Deir Hassan ndani ya Idlib vijijini, kwa kichwa
Runinga ya Al-Waqiyah ilifanya mahojiano mbali mbali na wazee kutoka kwa Mashabab wa Hizb ut Tahrir kutoka maeneo mbali mbali ulimwenguni ambapo walisisitiza kwamba wao wako imara juu ya ukweli, haijalishi uzito wa majanga, na kwamba wako njiani, haijalishi urefu wa barabara, lengo lao liko wazi na njia wanayotumia imekamilika…