Kitengo cha Wanawake: Kampeni ya Ramadhan: "Kutafuta Mafanikio Usoni Mwa Matatizo"
- Imepeperushwa katika Kampeni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kitengo cha Wanawake Kampeni ya Ramadhan Kutafuta Mafanikio Usoni Mwa Matatizo
Kitengo cha Wanawake Kampeni ya Ramadhan Kutafuta Mafanikio Usoni Mwa Matatizo
Ni kiwango kipi cha juu zaidi anachostahiki kupewa mtu katika Zaka? Kwa mfano, je mtu anaweza kupata pesa za kutosha za kujenga nyumba ikiwa hana nyumba? Au kuna kikomo chochote juu ya kiwango ambacho mtu anaweza kupokea? Mwenyezi Mungu akulipe kheri.
Tangazo la Beijing na Uingizaji wa Siasa Katika Masuala ya Wanawake
Kuna watu wengi wanashughulishwa sana na kuvunjika moyo wanapopatwa na madhara, shida au magonjwa.
Na: Sheikh Nidhal Siyam (Abu Ibrahim)
Na: Sheikh Saeed Ridhwan (Abu Imad) and Sheikh Abu Salim As-Sakhri
Maoni ya Kisiasa ya Kila Wiki
Mufti wa Tatarstan Kamil Samigullin ameeleza kuwa hakutoa kauli zozote dhidi ya marekebisho ya Katiba ya Urusi yaliyo jumuisha fahamu ya “watu wenye kuunda Serikali”, ila alionyesha tu shaka kuhusu maneno yake, Idara ya Usimamizi wa Masuala ya Kiroho ya Waislamu wa Tatarstan (SAM) imeripoti.
Mwishoni mwa wiki, Amerika iliipiku China kwa idadi ya watu waliofariki kwa mkurupuko wa virusi vya korona, uongozi wa kiulimwengu umeonekana kutokuwepo katika muundo wa utawala wa kiulimwengu.
Kila siku ikipita, inakuwa wazi kwamba mgogoro wa virusi vya Korona kihakika unawakilisha mgogoro wa kiulimwengu, urasilimali wa sekula. Mgogoro wa virusi vya Korona, kama ilivyo migogoro mengine, umefichua mtazamo wa dunia na mfumo wa urasilimali.