Hii ni Taarifa kwa Watu, Wito kwa Watu wa Tunisia, Ardhi ya Al-Zaitouna ya Vyuo Vikuu Vikongwe Ulimwenguni
- Imepeperushwa katika Tunisia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tangu ukoloni ulipoingia Tunisia, ulilenga elimu na athari yake katika kuunda shakhsiya. Kwa hivyo mwanaorientalisti wa Ufaransa Louis Maigret alichukua jukumu la elimu ya umma nchini Tunisia, akipendekeza mradi wa kielimu unaolenga kuidhibiti zaidi nchi na watu wake kielimu na kisiasa.