Watoto Wauwa Watoto: Shutma Kali kwa Thaqafa ya Kiliberali
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mujahidina madhubuti wanapigana kwenye uwanja wa vita kwa dhamira na azma, huku adui muoga akishambulia kutoka mbali kwa ndege zao na mizinga, wakiharibu nyumba, wakiwa na nia ya kuua wanawake, watoto, na vikongwe. Mnasubiri nini?
Maafisa wa Kizayuni wameiita 7 Oktoba sasa huko 9/11 wakati Hamas na makundi mengine ya upinzani yalizindua operesheni kutoka ardhini, baharini na hewani dhidi ya 'Israel'. Wapiganaji wa Hamas waliingia maili 15 ndani ya umbile la Kiyahudi na kuchukua kambi za kijeshi, vituo vya polisi na mateka wengi.
Mnamo Jumamosi, Oktoba 7, Waislamu nchini Palestina na nchi zote za Kiislamu waliamkia habari za furaha na shauku kubwa kwa sababu mashujaa wa Palestina walizindua operesheni pana, kamili, na muhimu dhidi ya umbile la Kiyahudi takriban saa kumi na mbili unusu asubuhi.
Wito wa Sheikh Essam Amira (Abu Abdulla) kwa vikosi vya jeshi la Uturuki kuwanusuru Mujahidina na kuukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa
Hafiza Ghaya Arkan, mkuu wa Benki Kuu, alisema katika uwasilishaji wake mbele ya Kamati ya Mipango na Bajeti ya Bunge Kuu la Ututuki mnamo Jumanne, Oktoba 3, kwamba mwaka ujao utashuhudia kupungua kwa mfumko wa bei.
Jumamosi tarehe saba Oktoba mwaka 2023, mashujaa wa ukanda wa Gaza walivuka mipaka ya umbile la Kiyahudi. Walishambulia ngome za adui na hivyo kufanya nyuso zao kuwa nyeusi. Shambulizi hili dhidi ya Jeshi la Kiyahudi limekashifiwa kote duniani ikiwemo Afrika.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezi ya Ukombozi… Kunusuru Watu wa Palestina na Al-Aqsa iliyotekwa Nyara
Mwaka mmoja baada ya serikali ya Kenya Kwanza kuchukua hatamu za uongozi, hali ya kiuchumi na maisha ya raia wa kawaida imezidi kuwa mbaya. Ni dhahiri shahiri kwamba matarajio makubwa ya wananchi kurahisishiwa gharama za maisha na utawala ulioko mamlakani sambamba na kuondokewa na malimbikizi ya deni la taifa, yamegeuka kuwa mangati/mazigazi.