Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 461
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Serikali ya Ufaransa imeanzisha marufuku ya uvaaji wa Abayah katika shule za Ufaransa, ambayo ilianza kutekelezwa mwezi huu wa Septemba. Ilisema kwamba mavazi ya kidini yanahujumu kanuni za kisekula zinazounda msingi wa dola yake, na kutoegemea upande wowote wa kidini ndani ya shule.
Mnamo Agosti 27, 2023, uongozi wa yale yanayojulikana kama SDF (Majeshi ya Kidemokrasia ya Syria), pia yanayojulikana kama QSD, yalimkamata kiongozi wa baraza la jeshi la Deir Ez-Zor baada ya kumvutia, pamoja na baadhi ya makamanda wake, kwenye mkutano mmoja katika kambi ya Waziri huko Al-Hasakah.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon:
Kalima ya Kikao Kilichositishwa cha Hizb ut-Tahrir katika Uwanja wa Nejmeh – Sidon
Agosti 31 inaadhimishwa kama Siku ya Uhuru ya Kyrgyzstan tangu 1991. Kwa hivyo, je! Kyrgyzstan kweli ni dola huru? Tunatafuta kulijibu swali hili kwa kuchunguza ukweli wa kihistoria na istilahi.
Mamlaka ya Palestina (PA) ilifanya uhalifu wa kinyama zaidi Jumatano hii asubuhi kwa kumuua kijana Abdulqader Zaqdah, ambaye alijeruhiwa wakati wa uvamizi wao kwenye kambi ya Tulkarm. Wengine kadhaa pia walijeruhiwa.
Maafisa na askari wa Kikosi Maalum (Special Services Group/SSG) ni miongoni mwa kikosi bora zaidi duniani. Heshima yao imejengwa katika mashindano ya kimataifa na pia katika medani ya mapambano. Wanatia hofu katika nyoyo za maadui wa Uislamu.
Afisi Kuu ya Habari: Ulinganizi wa Kiulimwengu Sehemu ya 65 – Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume